KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA UPATE KIBALI PDPC
Aug. 22, 2025, 4:57 p.m.
Taarifa Binafsi yoyote inayoenda nje ya nchi ni lazima ipatiwe kibali na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC).
Haya yamesemwa leo Agosti 22,2025, Morogoro Mjini na Bw. Innocent Mungy, Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano - PDPC wakati akitoa mada ya namna ya kuomba kibali cha kusafirisha Taarifa Nje ya Nchi kwenye Mafunzo Maalumu ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa (DPO) ambapo amesema hilo ni takwa la Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Sura ya 44 hivyo Taasisi, kampuni au mtu yoyote anaesafirisha Taarifa Binafsi nje ya Mipaka ya Tanzania anapaswa kuomba kibali PDPC.
"Hata wale wanaosafirisha Taarifa Binafsi kwaajili ya kwenda kuzitunza mtandaoni 'Cloud Server' wanapaswa kupewa kibali na PDPC na wakati wa kuomba kibali hicho wanatakiwa kusema hiyo 'server' ipo nchi gani, mtoa huduma ni nani na ni taarifa zipi wanazozisafirisha" Amesema Bw.Mungy
RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHURβ¦
TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES Iβ¦
ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO
ππππππππ ππππππππ πππ ππππ+ππ ππππβ¦
DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BINβ¦
NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI Wβ¦
DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI Wβ¦
PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISβ¦
ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIFβ¦
BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODβ¦
JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWAβ¦
NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU Kβ¦
πππππππ ππππ ππ ππππππ ππ ππππππ π β¦
πππππππ ππππππ π ππ πππ ππππ ππππππβ¦
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YAβ¦
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGβ¦
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA Bβ¦
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikianβ¦
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUβ¦
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEβ¦