BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC
Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
Bodi ya Wakurugenzi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imefanya kikao chake cha sita ili kujadili utendaji kazi wa PDPC kwa kipindi cha mwezi Aprili hadi Juni, 2025.
Kikao hicho kimefanyika leo Agosti 14, 2025 jijini Dodoma na kimeongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Mhe. Balozi Adadi Rajabu, ambapo ametoa pongezi kwa niaba ya Wajumbe wa Bodi kwa mwelekeo mzuri na mafanikio ya PDPC ambayo yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwake.
Aidha Balozi Adadi alitoa wito kwa timu ya Menejimenti ya PDPC kufanya kazi kwa weledi na ushirikiano baina yao na watumishi ili kufikia malengo yaliyowekwa na Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

PDPC YATOA ELIMU KWA UMMA MWANZA

ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NI SWALA…

PDPC YATOA WITO WA USAJILI WA TAAS…

MISHAHARA KWA WAFANYAKAZI NCHINI K…

PDPC YATANGAZA MAFUNZO KWA MAAFISA…

SIMAMIENI MIPANGO YA KUPUNGUZA VIH…

RISK CHAMPIONS NA DPO’s SHIRIKIANE…

WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARI…

DPIA NI LAZIMA, KABLA YA KUANZISHA…

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHUR…

TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES I…

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐒𝐈𝐒+𝟐𝟎 𝐇𝐈𝐆𝐇…

DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BIN…

NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI W…

DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI W…

PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFIS…

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…
.
