BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC
Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
Bodi ya Wakurugenzi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imefanya kikao chake cha sita ili kujadili utendaji kazi wa PDPC kwa kipindi cha mwezi Aprili hadi Juni, 2025.
Kikao hicho kimefanyika leo Agosti 14, 2025 jijini Dodoma na kimeongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Mhe. Balozi Adadi Rajabu, ambapo ametoa pongezi kwa niaba ya Wajumbe wa Bodi kwa mwelekeo mzuri na mafanikio ya PDPC ambayo yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwake.
Aidha Balozi Adadi alitoa wito kwa timu ya Menejimenti ya PDPC kufanya kazi kwa weledi na ushirikiano baina yao na watumishi ili kufikia malengo yaliyowekwa na Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHURβ¦
TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES Iβ¦
ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO
ππππππππ ππππππππ πππ ππππ+ππ ππππβ¦
DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BINβ¦
NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI Wβ¦
DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI Wβ¦
PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISβ¦
ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIFβ¦
BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODβ¦
JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWAβ¦
NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU Kβ¦
πππππππ ππππ ππ ππππππ ππ ππππππ π β¦
πππππππ ππππππ π ππ πππ ππππ ππππππβ¦
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YAβ¦
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGβ¦
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA Bβ¦
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikianβ¦
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUβ¦
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEβ¦