ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI YATOLEWA MAONESHO YA NANENANE
Aug. 10, 2025, 4:24 p.m.
Afisa Habari wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ofisi ya Zanzibar, Bw. Maulid Kipevu (aliyevaa T - Shirt ya PDPC) akitoa elimu ya dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi katika maonesho ya sikukuu ya wakulima (Nanenane) yaliyofanyika kwenye viwanja vya maonesho Dole Kizimbani, Zanzibar.
Maonesho hayo yenye kauli mbiu “Kilimo ni Utajiri, Tunza Amani – Tulime Kibunifu” yalifunguliwa rasmi tarehe 2 Agosti, 2025 na Mhe. Waziri wa Kilimo Zanzibar Shamata Shame Khamis na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 14 Agosti, 2025.

SIMAMIENI MIPANGO YA KUPUNGUZA VIH…

RISK CHAMPIONS NA DPO’s SHIRIKIANE…

WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARI…

DPIA NI LAZIMA, KABLA YA KUANZISHA…

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHUR…

TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES I…

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐒𝐈𝐒+𝟐𝟎 𝐇𝐈𝐆𝐇…

DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BIN…

NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI W…

DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI W…

PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFIS…

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA…

NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU K…

𝐊𝐔𝐀𝐍𝐃𝐀𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐋𝐈𝐍𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 …

𝐔𝐒𝐈𝐖𝐄𝐊𝐄 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐙𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐌𝐃𝐇𝐀𝐌𝐈…

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…
.
