ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA YAWAFIKIA PDPC

Nov. 24, 2025, 10:12 p.m. ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA YAWAFIKIA PDPC

Afisa uelimishaji kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma Bw. Faustine Malecha leo Jumatatu tarehe 24 Novemba, 2025 ametoa elimu kwa watumishi wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) kuhusu umuhimu wa kuzuia na kuepuka vitendo vya rushwa katika maeneo ya kazi.

Katika mafunzo hayo, yaliyofanyika katika ukumbi wa ofisi za PDPC, zilizopo Dodoma, Bw. Malecha amesisitiza kuwa rushwa si tu inashusha ufanisi wa taasisi za umma, bali pia inaathiri uaminifu wa wananchi kwa Serikali na kuhatarisha maendeleo ya Taifa.

β€œPDPC ni taasisi muhimu inayosimamia utekelezaji wa sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi, inapaswa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma na kuhakikisha kuwa maamuzi yote yanafanywa kwa uadilifu, uwazi na haki” amesema Bw. Malecha.

Bw. Malecha pia alitoa mwongozo wa namna watumishi wanaweza kutambua viashiria vya rushwa, jinsi ya kuripoti vitendo vinavyohisiwa kuwa ni vya rushwa, na umuhimu wa kujenga utamaduni wa kuwajibika katika kila hatua ya utoaji huduma.

PDPC ina jukumu la msingi la kulinda haki ya faragha ya wananchi kwa kuhakikisha taarifa zao binafsi zinakusanywa, kuhifadhiwa na kutumika kwa mujibu wa sheria hivyo kujenga jamii inayotumia teknolojia kwa usalama, uaminifu na kwa manufaa ya maendeleo ya taifa.

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆππˆ π–π€πŠπŽ ππˆπ‹π€ πŠπ”ππ€π“π€ π‘πˆπƒπ‡π€π€ …

π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆβ€¦

Aug. 21, 2025, 2:46 p.m.
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA KUPATA KIBALI …

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…

Aug. 22, 2025, 4:45 p.m.
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI ZA WATU

KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…

Sept. 5, 2025, 8:53 a.m.
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI UNAJENGA IMANI YA WANANCHI …

ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…

Sept. 11, 2025, 11:23 a.m.
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikiano katika Kulinda Faragha na Taarifa …

PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…

Nov. 12, 2025, 6:56 p.m.
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA YAWAFIKIA PDPC

ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…

Nov. 24, 2025, 10:12 p.m.
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEA UWEZO KATIKA ULINZI WA TAARIFA

DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…

Dec. 4, 2025, 7:08 p.m.
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE MBELWA KAIRUKI

KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE …

Dec. 15, 2025, 7 p.m.
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUG…

Dec. 19, 2025, 11:50 p.m.
PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTECTION SUMMIT 20TH DECEMBER 2025

PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTE…

Dec. 20, 2025, 8:22 p.m.
MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THREE MONTH ULTIMATUM ON PERSONAL DATA …

MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THRE…

Jan. 8, 2026, 7:27 p.m.
π“π€π€π’πˆπ’πˆ π™πŽπ“π„ ππ‚π‡πˆππˆ 𝐍𝐈 π‹π€π™πˆπŒπ€ πŠπ”π–π€ 𝐍𝐀 π€π…πˆπ’π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 …

π“π€π€π’πˆπ’πˆ π™πŽπ“π„ ππ‚π‡πˆππˆ 𝐍𝐈 π‹π€π™πˆπŒπ€ πŠπ”π–π€β€¦

Feb. 11, 2026, 2 p.m.
πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 π‡π€π“π€π‘πˆ πŠπ–π€ 𝐅𝐀𝐑𝐀𝐆𝐇𝐀, π”π’π€π‹π€πŒπ€ 𝐍𝐀 …

πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 𝐇𝐀…

Feb. 11, 2026, 2:01 p.m.