KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI ZA WATU

Sept. 5, 2025, 8:53 a.m. KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI ZA WATU

Mkurugenzi Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Ofisi ya Zanzibar, Bi Rehema Abdalla amewataka wagombea wa ngazi zote nchini kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kuhakikisha hawaingilii faragha za watu.


Bi. Rehema amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalum na mtangazaji Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bi. Nasra Khatib kuhusu umuhimu wa kulinda taarifa binafsi katika kampeni za uchaguzi mkuu kwa wagombea watakaonadi sera za vyama vyao.

β€œWagombea wa ngazi zote hakikisheni hamuingilii faragha za watu na majukwaa mnayotumia kunadi sera za vyama vyenu yasitumike kukiuka misingi ya Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi” amesema Bi. Rehema.

Akisisitiza swala hili, Bi. Rehema amesema kuwa kuchapisha taarifa binafsi za mtu kwenye magazeti, mitandao ya kijamii au kutangaza kwenye redio na televisheni bila ridhaa ya muhusika wa taarifa hizo ni kinyume na matakwa ya Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi sura ya 44.

Elimu juu ya dhana ya ulinzi wa taarifa binafsi kwa makundi mbalimbali ya kijamii ni endelevu na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi inatoa elimu hiyo kuwajengea uelewa wahusika wa taarifa binafsi na watumiaji wa taarifa hizo ili uzingatiaji wa ulinzi wa faragha upewe kipaumbele wakati wa kutumia taarifa husika.

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆππˆ π–π€πŠπŽ ππˆπ‹π€ πŠπ”ππ€π“π€ π‘πˆπƒπ‡π€π€ …

π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆβ€¦

Aug. 21, 2025, 2:46 p.m.
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA KUPATA KIBALI …

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…

Aug. 22, 2025, 4:45 p.m.
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI ZA WATU

KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…

Sept. 5, 2025, 8:53 a.m.
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI UNAJENGA IMANI YA WANANCHI …

ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…

Sept. 11, 2025, 11:23 a.m.
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikiano katika Kulinda Faragha na Taarifa …

PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…

Nov. 12, 2025, 6:56 p.m.
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA YAWAFIKIA PDPC

ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…

Nov. 24, 2025, 10:12 p.m.
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEA UWEZO KATIKA ULINZI WA TAARIFA

DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…

Dec. 4, 2025, 7:08 p.m.
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE MBELWA KAIRUKI

KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE …

Dec. 15, 2025, 7 p.m.
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUG…

Dec. 19, 2025, 11:50 p.m.
PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTECTION SUMMIT 20TH DECEMBER 2025

PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTE…

Dec. 20, 2025, 8:22 p.m.
MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THREE MONTH ULTIMATUM ON PERSONAL DATA …

MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THRE…

Jan. 8, 2026, 7:27 p.m.
π“π€π€π’πˆπ’πˆ π™πŽπ“π„ ππ‚π‡πˆππˆ 𝐍𝐈 π‹π€π™πˆπŒπ€ πŠπ”π–π€ 𝐍𝐀 π€π…πˆπ’π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 …

π“π€π€π’πˆπ’πˆ π™πŽπ“π„ ππ‚π‡πˆππˆ 𝐍𝐈 π‹π€π™πˆπŒπ€ πŠπ”π–π€β€¦

Feb. 11, 2026, 2 p.m.
πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 π‡π€π“π€π‘πˆ πŠπ–π€ 𝐅𝐀𝐑𝐀𝐆𝐇𝐀, π”π’π€π‹π€πŒπ€ 𝐍𝐀 …

πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 𝐇𝐀…

Feb. 11, 2026, 2:01 p.m.