KIKAO KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU
Jan. 22, 2025, 4:11 p.m.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Selemani Moshi Kakoso, akiiongoza kikao cha uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya Bunge na taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa kipindi cha nusu mwaka (Julai-Disemba 2024), Januari 20, 2025, Bungeni jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu wa PDPC Dkt. Emmanuel Lameck Mkilia anashiriki katika Mkutano huo pamoja na viongozi wengine wa PDPC akiwemo Meneja wa Huduma Saidizi wa PDPC Dkt. Petro Nzowa na Mwanasheria wa PDPC Bw. Osiniel Mfinanga.

PDPC AND TIRA TO BUILD SUSTAINABLE…

IN DIGITAL ECONOMY PRIVACY SHOULD …

CONTACT US

Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Masha…

ULINZI WA TAARIFA BINAFSI UNAANZA …

JAMII YASHAURIWA KULINDA TAARIFA B…

PDPC KUSHIRIKIANA NA WADAU KUIMARI…

PDPC NA HILTON LAW GROUP WAKUTANA …

PDPC TUNAHAKIKISHA ULINZI WA FARAG…

TUZINGATIE KANUNI ZA DHANA YA ULIN…

KIKAO KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBI…

MSINGI WA UCHUMI WA KIDIJITALI UNA…

‘UNWANTED WITNESS’ WATEMBELEA PDPC

PDPC YASHIRIKI KIKAO - TATHMINI YA…

DKT. MKILIA AFUNGUA WARSHA JUKWAA …

PDPC Yatoa Mafunzo Maalumu kwa Bod…

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

PDPC YATOA ELIMU KWA UMMA MWANZA

ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NI SWALA…