πŠπ”π€ππƒπ€π€ 𝐒𝐄𝐑𝐀 π˜π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 π“π€π€π‘πˆπ…π€ ππˆππ€π…π’πˆ πŠπ–π„ππ˜π„ π“π€π€π’πˆπ’πˆ 𝐍𝐈 π‰π”πŠπ”πŒπ” 𝐋𝐀 πƒππŽ

Aug. 21, 2025, 2:38 p.m. πŠπ”π€ππƒπ€π€ 𝐒𝐄𝐑𝐀 π˜π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 π“π€π€π‘πˆπ…π€ ππˆππ€π…π’πˆ πŠπ–π„ππ˜π„ π“π€π€π’πˆπ’πˆ 𝐍𝐈 π‰π”πŠπ”πŒπ” 𝐋𝐀 πƒππŽ

Kwa mujibu wa Kanuni za Ukusanyaji na Uchakataji wa Taarifa Binafsi za mwaka 2023, kuandaa Sera ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya Mkusanyaji na Mchakataji wa Taarifa ni moja ya jukumu la msingi la Afisa Ulinzi wa Taarifa (DPO).

Mtaalamu wa Masuala ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Bi. Asha Sinare, amesema hayo leo Agosti 21, 2025 wakati akitoa mada kwenye Mafunzo Maalumu ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa yanayoendelea hapa Mjini Morogoro ambapo amesema wapo baadhi ya DPO's wanakwepa jukumu hilo na kuwaachia wanasheria wa Taasisi au kampuni husika.

"Kuandaa Sera ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya Taasisi au kampuni ni moja ya jukumu la msingi la DPO, najua wapo baadhi yenu wanakwepa jukumu hili na kuwapa wanasheria ila niwaambie tu hili ni jukumu la DPO na ukiwa unaiandaa ni vizuri ukawashirikisha watumishi wa kila idara kwenye Taasisi yako ili uweze kuandaa Sera nzuri inayoendana na utendaji kazi na majukumu ya Taasisi husika". Amesema Bi. Sinare

"Kifungu cha 32 cha Kanuni za Ukusanyaji na Uchakataji wa Taarifa Binafsi za mwaka 2023 kimeainisha majukumu ya DPO's ikiwemo kufanya Tathimini ya Athari za Ulinzi wa Taarifa Binafsi (DPIA) na kutayarisha ripoti za kila robo mwaka." Aliongeza Bi.Sinare

Aidha Bi.Sinare aliwashauri DPO's hao kuwa na utaratibu wa kufanya ukaguzi wa ndani juu ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi sambamba na kuandaa orodha ya mambo yatakayokaguliwa ili kutimiza majukumu yao kwa weledi.

SIMAMIENI MIPANGO YA KUPUNGUZA VIHATARISHI KWENYE ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

SIMAMIENI MIPANGO YA KUPUNGUZA VIH…

June 23, 2025, 7:05 p.m.
RISK CHAMPIONS NA DPO’s SHIRIKIANENI KULINDA TAARIFA BINAFSI NCHINI

RISK CHAMPIONS NA DPO’s SHIRIKIANE…

June 23, 2025, 7:18 p.m.
WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARISHI NCHINI TIMIZENI WAJIBU WENU

WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARI…

June 23, 2025, 6:28 p.m.
DPIA NI LAZIMA, KABLA YA KUANZISHA MRADI UNAOKUSANYA NA KUCHAKATA …

DPIA NI LAZIMA, KABLA YA KUANZISHA…

June 23, 2025, 8 p.m.
RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHURUTI

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHUR…

June 24, 2025, 2 p.m.
TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES IN UN CSTD MULTI-STAKEHOLDERS WORKING GROUP ON …

TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES I…

July 4, 2025, 8 a.m.
ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

July 2, 2025, 3:55 p.m.
π“π€ππ™π€ππˆπ€ 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 π–π’πˆπ’+𝟐𝟎 π‡πˆπ†π‡-𝐋𝐄𝐕𝐄𝐋 𝐄𝐕𝐄𝐍𝐓 𝐈𝐍 𝐆𝐄𝐍𝐄𝐕𝐀

π“π€ππ™π€ππˆπ€ 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 π–π’πˆπ’+𝟐𝟎 π‡πˆπ†π‡β€¦

July 7, 2025, 9:05 a.m.
DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BINAFSI KWENYE TAASISI/KAMPUNI YAKO

DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BIN…

July 9, 2025, 5:26 p.m.
NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI WA TAARIFA KWENYE …

NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI W…

July 10, 2025, 3:54 p.m.
DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI W…

July 11, 2025, 3:55 p.m.
PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NCHINI

PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFIS…

July 16, 2025, 3:07 p.m.
ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI YATOLEWA MAONESHO …

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

Aug. 10, 2025, 4:24 p.m.
BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA WADAU KWA KULINDA TAARIFA …

JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA…

Aug. 20, 2025, 8:57 p.m.
NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII …

NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU K…

Aug. 20, 2025, 8:58 p.m.
πŠπ”π€ππƒπ€π€ 𝐒𝐄𝐑𝐀 π˜π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 π“π€π€π‘πˆπ…π€ ππˆππ€π…π’πˆ πŠπ–π„ππ˜π„ π“π€π€π’πˆπ’πˆ 𝐍𝐈 …

πŠπ”π€ππƒπ€π€ 𝐒𝐄𝐑𝐀 π˜π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 π“π€π€π‘πˆπ…π€ …

Aug. 21, 2025, 2:38 p.m.
π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆππˆ π–π€πŠπŽ ππˆπ‹π€ πŠπ”ππ€π“π€ π‘πˆπƒπ‡π€π€ …

π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆβ€¦

Aug. 21, 2025, 2:46 p.m.
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA KUPATA KIBALI …

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…

Aug. 22, 2025, 4:45 p.m.
Tanzania Census 2022