KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA KUPATA KIBALI PDPC
Aug. 22, 2025, 4:45 p.m.
Taarifa Binafsi yoyote inayoenda nje ya nchi ni lazima ipatiwe kibali na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC).
Haya yamesemwa leo Agosti 22,2025, Morogoro Mjini na Bw. Innocent Mungy, Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano - PDPC wakati akitoa mada ya namna ya kuomba kibali cha kusafirisha Taarifa Nje ya Nchi kwenye Mafunzo Maalumu ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa (DPO) ambapo amesema hilo ni takwa la Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Sura ya 44 hivyo Taasisi, kampuni au mtu yoyote anaesafirisha Taarifa Binafsi nje ya Mipaka ya Tanzania anapaswa kuomba kibali PDPC.
"Hata wale wanaosafirisha Taarifa Binafsi kwaajili ya kwenda kuzitunza mtandaoni 'Cloud Server' wanapaswa kupewa kibali na PDPC na wakati wa kuomba kibali hicho wanatakiwa kusema hiyo 'server' ipo nchi gani, mtoa huduma ni nani na ni taarifa zipi wanazozisafirisha" Amesema Bw.Mungy

SIMAMIENI MIPANGO YA KUPUNGUZA VIH…

RISK CHAMPIONS NA DPO’s SHIRIKIANE…

WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARI…

DPIA NI LAZIMA, KABLA YA KUANZISHA…

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHUR…

TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES I…

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐒𝐈𝐒+𝟐𝟎 𝐇𝐈𝐆𝐇…

DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BIN…

NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI W…

DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI W…

PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFIS…

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA…

NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU K…

𝐊𝐔𝐀𝐍𝐃𝐀𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐋𝐈𝐍𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 …

𝐔𝐒𝐈𝐖𝐄𝐊𝐄 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐙𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐌𝐃𝐇𝐀𝐌𝐈…

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…
.
