πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 π‡π€π“π€π‘πˆ πŠπ–π€ 𝐅𝐀𝐑𝐀𝐆𝐇𝐀, π”π’π€π‹π€πŒπ€ 𝐍𝐀 π‡π€πŠπˆ 𝐙𝐀 π–π€ππ€ππ‚π‡πˆ

Feb. 11, 2026, 2:01 p.m. πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 π‡π€π“π€π‘πˆ πŠπ–π€ 𝐅𝐀𝐑𝐀𝐆𝐇𝐀, π”π’π€π‹π€πŒπ€ 𝐍𝐀 π‡π€πŠπˆ 𝐙𝐀 π–π€ππ€ππ‚π‡πˆ

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) Dkt. Emmanuel Lameck Mkilia amesema kuwa kutotekeleza matakwa ya Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPA) ni hatari kwa faragha, usalama na haki za wananchi.

Hayo yamesemwa leo Februari 11, 2026 katika mafunzo maalum ya maafisa ulinzi wa taarifa binafsi awamu ya saba, yaliyofanyika katika ukumbi wa City Park Garden jijini Mbeya akiwa anazungumza na washiriki hao.

β€œTume imebaini baadhi ya taasisi kutokua tayari kikamilifu kutekeleza matakwa ya Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, hususan katika usajili na uteuzi wa Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Baadhi ya taasisi zinaendelea kukusanya na kuchakata taarifa binafsi bila kukamilisha matakwa ya kisheria”

β€œLengo la mafunzo haya ni kuhakikisha kuwa ukusanyaji, uchakataji, uhifadhi na matumizi ya taarifa binafsi vinafanyika kwa kuzingatia kikamilifu matakwa ya sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi. Hivyo kupitia mafunzo haya tunatarajia kuona mabadiliko ya vitendo katika taasisi zinazoshiriki mafunzo haya” amesema Dkt. Mkilia.

Dkt. Mkilia amesisitiza kuwa PDPC imejipanga kuanza ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria, kufuatilia utekelezaji wa maagizo ya usajili na uteuzi wa Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi, na kuchukua hatua za kisheria pale ambapo kutabainika ukiukwaji.

Mafunzo haya ya siku tatu kwa maafisa ulinzi wa taarifa binafsi yanafanyika hapa jiini Mbeya kuanzia leo Februari 11, 2026 ikiwa ni awamu ya saba ya mafunzo hayo, kwa kipindi hiki yakilenga taasisi za umma na binafsi zilizopo Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆππˆ π–π€πŠπŽ ππˆπ‹π€ πŠπ”ππ€π“π€ π‘πˆπƒπ‡π€π€ …

π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆβ€¦

Aug. 21, 2025, 2:46 p.m.
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA KUPATA KIBALI …

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…

Aug. 22, 2025, 4:45 p.m.
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI ZA WATU

KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…

Sept. 5, 2025, 8:53 a.m.
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI UNAJENGA IMANI YA WANANCHI …

ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…

Sept. 11, 2025, 11:23 a.m.
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikiano katika Kulinda Faragha na Taarifa …

PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…

Nov. 12, 2025, 6:56 p.m.
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA YAWAFIKIA PDPC

ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…

Nov. 24, 2025, 10:12 p.m.
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEA UWEZO KATIKA ULINZI WA TAARIFA

DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…

Dec. 4, 2025, 7:08 p.m.
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE MBELWA KAIRUKI

KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE …

Dec. 15, 2025, 7 p.m.
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUG…

Dec. 19, 2025, 11:50 p.m.
PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTECTION SUMMIT 20TH DECEMBER 2025

PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTE…

Dec. 20, 2025, 8:22 p.m.
MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THREE MONTH ULTIMATUM ON PERSONAL DATA …

MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THRE…

Jan. 8, 2026, 7:27 p.m.
π“π€π€π’πˆπ’πˆ π™πŽπ“π„ ππ‚π‡πˆππˆ 𝐍𝐈 π‹π€π™πˆπŒπ€ πŠπ”π–π€ 𝐍𝐀 π€π…πˆπ’π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 …

π“π€π€π’πˆπ’πˆ π™πŽπ“π„ ππ‚π‡πˆππˆ 𝐍𝐈 π‹π€π™πˆπŒπ€ πŠπ”π–π€β€¦

Feb. 11, 2026, 2 p.m.
πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 π‡π€π“π€π‘πˆ πŠπ–π€ 𝐅𝐀𝐑𝐀𝐆𝐇𝐀, π”π’π€π‹π€πŒπ€ 𝐍𝐀 …

πŠπ”π“πŽπ“π„πŠπ„π‹π„π™π€ πŒπ€π“π€πŠπ–π€ π˜π€ 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 𝐇𝐀…

Feb. 11, 2026, 2:01 p.m.