ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

July 2, 2025, 3:55 p.m. ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

Zoezi la kutoa Elimu ya Dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa Umma linaendelea kutolewa na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), ambapo leo Julai 02, 2025 Mkoani Morogoro zaidi ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi (DPO’s) Mia nne(400) wamepatiwa elimu hiyo kupitia Semina Maalumu iliyobebwa na ujumbe wa Kuwezesha Uzingatiaji wa Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi Nchini.

Bw. Innocent Mungy, Mkuu wa Kitengo Uhusiano na Mawasiliano PDPC na mmoja wa wakufunzi wa Mafunzo haya Maalumu kwa Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi ametumia jukwaa hili kuwashauri maafisa hao kuweka utaratibu wa kutunza kumbukumbu za Ukusanyaji na Uchakataji wa Taarifa kwenye Taasisi zao ili kutimiza majukumu yao kwa Usahihi.

Akiwafundisha maafisa hao Bw.Mungy amesema Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi sura ya 44 (PDPA) na kanuni zake, zimetungwa ili kuleta uwazi na uwajibikaji kwa Taasisi pale linapokuja suala la Ukusanyaji na Uchakataji wa Taarifa Binafsi hivyo DPO anapaswa kutumia mfumo wa ROPA kutimiza malengo hayo.

“ROPA ni kitendo  cha kuweka kumbukumbu ya shughuli zote za Ukusanyaji na Uchakataji wa Taarifa Binafsi na hii ni moja ya njia bora ya kutimiza majukumu yako kama DPO kwakua hata itakapotokea Taarifa zimevuja ni rahisi kujua tatizo lilianzia wapi na ukalitatua” amesema Bw. Mungy
 

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHURUTI

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHUR…

June 24, 2025, 2 p.m.
TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES IN UN CSTD MULTI-STAKEHOLDERS WORKING GROUP ON …

TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES I…

July 4, 2025, 8 a.m.
ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

July 2, 2025, 3:55 p.m.
𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐒𝐈𝐒+𝟐𝟎 𝐇𝐈𝐆𝐇-𝐋𝐄𝐕𝐄𝐋 𝐄𝐕𝐄𝐍𝐓 𝐈𝐍 𝐆𝐄𝐍𝐄𝐕𝐀

𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐒𝐈𝐒+𝟐𝟎 𝐇𝐈𝐆𝐇…

July 7, 2025, 9:05 a.m.
DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BINAFSI KWENYE TAASISI/KAMPUNI YAKO

DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BIN…

July 9, 2025, 5:26 p.m.
NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI WA TAARIFA KWENYE …

NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI W…

July 10, 2025, 3:54 p.m.
DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI W…

July 11, 2025, 3:55 p.m.
PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NCHINI

PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFIS…

July 16, 2025, 3:07 p.m.
ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI YATOLEWA MAONESHO …

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

Aug. 10, 2025, 4:24 p.m.
BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA WADAU KWA KULINDA TAARIFA …

JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA…

Aug. 20, 2025, 8:57 p.m.
NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII …

NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU K…

Aug. 20, 2025, 8:58 p.m.
𝐊𝐔𝐀𝐍𝐃𝐀𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐋𝐈𝐍𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐁𝐈𝐍𝐀𝐅𝐒𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈 𝐍𝐈 …

𝐊𝐔𝐀𝐍𝐃𝐀𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐋𝐈𝐍𝐙𝐈 𝐖𝐀 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 …

Aug. 21, 2025, 2:38 p.m.
𝐔𝐒𝐈𝐖𝐄𝐊𝐄 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐙𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐌𝐃𝐇𝐀𝐌𝐈𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐎 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐑𝐈𝐃𝐇𝐀𝐀 …

𝐔𝐒𝐈𝐖𝐄𝐊𝐄 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐙𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐌𝐃𝐇𝐀𝐌𝐈…

Aug. 21, 2025, 2:46 p.m.
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA KUPATA KIBALI …

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…

Aug. 22, 2025, 4:45 p.m.
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI ZA WATU

KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…

Sept. 5, 2025, 8:53 a.m.
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI UNAJENGA IMANI YA WANANCHI …

ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…

Sept. 11, 2025, 11:23 a.m.
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikiano katika Kulinda Faragha na Taarifa …

PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…

Nov. 12, 2025, 6:56 p.m.
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA YAWAFIKIA PDPC

ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…

Nov. 24, 2025, 10:12 p.m.
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEA UWEZO KATIKA ULINZI WA TAARIFA

DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…

Dec. 4, 2025, 7:08 p.m.