WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARISHI NCHINI TIMIZENI WAJIBU WENU
June 23, 2025, 6:28 p.m.
Waratibu na Wasimamizi wa Vihatarishi nchini wameshauriwa kuwaelimisha wafanyakazi wenzao namna ya kupunguza madhara ya Vihatarishi katika Ulinzi wa Taarifa Binafsi.
Wito huo umetolewa jijini Arusha leo Juni 23, 2025 na Bw. Innocent Mungy, Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) wakati akitoa mada ya Usimamizi wa Vihatarishi kwa washiriki wa mafunzo ya kupunguza madhara ya vihatarishi katika Ulinzi wa Taarifa Binafsi ambapo amesema elimu hiyo ni muhimu ifike kwa watumishi wote wa Taasisi husika na hiyo ni moja ya jukumu la waratibu na wasimamizi wa vihatarishi kwenye Taasisi hivyo watimize wajibu wao.
“Kama ilivyo PDPC ni jukumu letu kutoa elimu kwa umma kuhusu Dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na nyinyi ni jukumu lenu kutoa elimu kwa Watumishi wenzenu juu ya namna ya kupunguza madhara ya vihatarishi kwenye Taasisi, kwahiyo timizeni wajibu wenu” amesema Bw. Mungy

PDPC TUNAHAKIKISHA ULINZI WA FARAG…

MSINGI WA UCHUMI WA KIDIJITALI UNA…

‘UNWANTED WITNESS’ WATEMBELEA PDPC

PDPC YASHIRIKI KIKAO - TATHMINI YA…

DKT. MKILIA AFUNGUA WARSHA JUKWAA …

PDPC Yatoa Mafunzo Maalumu kwa Bod…

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

PDPC YATOA ELIMU KWA UMMA MWANZA

ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NI SWALA…

PDPC YATOA WITO WA USAJILI WA TAAS…

MISHAHARA KWA WAFANYAKAZI NCHINI K…

PDPC YATANGAZA MAFUNZO KWA MAAFISA…

SIMAMIENI MIPANGO YA KUPUNGUZA VIH…

RISK CHAMPIONS NA DPO’s SHIRIKIANE…

WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARI…

DPIA NI LAZIMA, KABLA YA KUANZISHA…

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHUR…

TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES I…