BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC
Aug. 14, 2025, 4:02 p.m.
Bodi ya Wakurugenzi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imefanya kikao chake cha sita ili kujadili utendaji kazi wa PDPC kwa kipindi cha mwezi Aprili hadi Juni, 2025.
Kikao hicho kimefanyika leo Agosti 14, 2025 jijini Dodoma na kimeongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Mhe. Balozi Adadi Rajabu, ambapo ametoa pongezi kwa niaba ya Wajumbe wa Bodi kwa mwelekeo mzuri na mafanikio ya PDPC ambayo yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwake.
Aidha Balozi Adadi alitoa wito kwa timu ya Menejimenti ya PDPC kufanya kazi kwa weledi na ushirikiano baina yao na watumishi ili kufikia malengo yaliyowekwa na Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE …
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUG…
PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTE…
MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THRE…
𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈 𝐙𝐎𝐓𝐄 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐍𝐈 𝐋𝐀𝐙𝐈𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐖𝐀…
𝐊𝐔𝐓𝐎𝐓𝐄𝐊𝐄𝐋𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐓𝐀𝐊𝐖𝐀 𝐘𝐀 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 𝐇𝐀…
PDPC YATOA ELIMU YA DHANA YA ULINZ…