ELIMU YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI YATOLEWA MAONESHO YA NANENANE
Aug. 10, 2025, 4:27 p.m.
Afisa Habari wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ofisi ya Zanzibar, Bw. Maulid Kipevu (aliyevaa T - Shirt ya PDPC) akitoa elimu ya dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi katika maonesho ya sikukuu ya wakulima (Nanenane) yaliyofanyika kwenye viwanja vya maonesho Dole Kizimbani, Zanzibar.
Maonesho hayo yenye kauli mbiu βKilimo ni Utajiri, Tunza Amani β Tulime Kibunifuβ yalifunguliwa rasmi tarehe 2 Agosti, 2025 na Mhe. Waziri wa Kilimo Zanzibar Shamata Shame Khamis na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 14 Agosti, 2025.
ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO
ππππππππ ππππππππ πππ ππππ+ππ ππππβ¦
DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BINβ¦
NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI Wβ¦
DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI Wβ¦
PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISβ¦
ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIFβ¦
BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODβ¦
JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWAβ¦
NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU Kβ¦
πππππππ ππππ ππ ππππππ ππ ππππππ π β¦
πππππππ ππππππ π ππ πππ ππππ ππππππβ¦
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YAβ¦
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGβ¦
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA Bβ¦
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikianβ¦
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUβ¦
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEβ¦
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE β¦
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGβ¦