ELIMU YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI YATOLEWA MAONESHO YA NANENANE
Aug. 10, 2025, 4:27 p.m.
Afisa Habari wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ofisi ya Zanzibar, Bw. Maulid Kipevu (aliyevaa T - Shirt ya PDPC) akitoa elimu ya dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi katika maonesho ya sikukuu ya wakulima (Nanenane) yaliyofanyika kwenye viwanja vya maonesho Dole Kizimbani, Zanzibar.
Maonesho hayo yenye kauli mbiu “Kilimo ni Utajiri, Tunza Amani – Tulime Kibunifu” yalifunguliwa rasmi tarehe 2 Agosti, 2025 na Mhe. Waziri wa Kilimo Zanzibar Shamata Shame Khamis na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 14 Agosti, 2025.
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE …
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUG…
PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTE…
MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THRE…
𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈 𝐙𝐎𝐓𝐄 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐍𝐈 𝐋𝐀𝐙𝐈𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐖𝐀…
𝐊𝐔𝐓𝐎𝐓𝐄𝐊𝐄𝐋𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐓𝐀𝐊𝐖𝐀 𝐘𝐀 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 𝐇𝐀…
PDPC YATOA ELIMU YA DHANA YA ULINZ…