KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA UPATE KIBALI PDPC
Aug. 22, 2025, 4:57 p.m.
Taarifa Binafsi yoyote inayoenda nje ya nchi ni lazima ipatiwe kibali na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC).
Haya yamesemwa leo Agosti 22,2025, Morogoro Mjini na Bw. Innocent Mungy, Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano - PDPC wakati akitoa mada ya namna ya kuomba kibali cha kusafirisha Taarifa Nje ya Nchi kwenye Mafunzo Maalumu ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa (DPO) ambapo amesema hilo ni takwa la Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Sura ya 44 hivyo Taasisi, kampuni au mtu yoyote anaesafirisha Taarifa Binafsi nje ya Mipaka ya Tanzania anapaswa kuomba kibali PDPC.
"Hata wale wanaosafirisha Taarifa Binafsi kwaajili ya kwenda kuzitunza mtandaoni 'Cloud Server' wanapaswa kupewa kibali na PDPC na wakati wa kuomba kibali hicho wanatakiwa kusema hiyo 'server' ipo nchi gani, mtoa huduma ni nani na ni taarifa zipi wanazozisafirisha" Amesema Bw.Mungy
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE …
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUG…
PDPC AND HUAWEI HOST PRIVACY PROTE…
MINISTER KAIRUKI ISSUES FINAL THRE…
𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈 𝐙𝐎𝐓𝐄 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐍𝐈 𝐋𝐀𝐙𝐈𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐖𝐀…
𝐊𝐔𝐓𝐎𝐓𝐄𝐊𝐄𝐋𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐓𝐀𝐊𝐖𝐀 𝐘𝐀 𝐏𝐃𝐏𝐀 𝐍𝐈 𝐇𝐀…
PDPC YATOA ELIMU YA DHANA YA ULINZ…