PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NCHINI

July 16, 2025, 3:10 p.m. PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NCHINI

Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ipo katika mpango wa kuwa naΒ  Ithibati kwa Maafisa Ulinzi wa Taarifa (DPOs) ili kuhakikisha ulinzi wa taarifa binafsi nchini unazingatiwa.

Hatua hii inalenga kuimarisha ulinzi wa taarifa binafsi na kuhakikisha kuwa waliopewa jukumu la ulinzi wa faragha za taarifa hizo wanazingatia viwango vya juu vya ufanisi na uadilifu.

Hayo yamesemwa leo tarehe 16/07/2025 na Mkurugenzi Mkuu wa PDPC Dkt. Emmanuel Mkilia alipotembelea kituo cha mafunzo maalum ya maafisa ulinzi wa taarifa kilichopo kwenye hoteli ya Morena, Morogoro na kuzungumza na washiriki wa mafunzo hayo ambapo alisisitiza kuwa mafunzo hayo ni hatua muhimu ya kuleta mazingira rafiki na yenye ufanisi kati ya PDPC na DPOs.

β€œTunatarajia kuanzisha mfumo wa mafunzo utakaoakisi uthibitisho wa kitaalamu wa DPOs. Hii inamaanisha kwamba, bila cheti rasmi cha utambuzi wako kutoka PDPC, huwezi kuwa DPO halali,” alisisitiza Dkt. Mkilia.

Hii ni hatua madhubuti inayolenga kuimarisha ulinzi wa taarifa binafsi, kuhakikisha maafisa wanaotekeleza majukumu haya wanazingatia viwango vya kitaifa na kimataifa, na kuleta ufanisi wa kiutendaji katika sekta hiyo muhimu kwa ulinzi wa faragha kwenye taarifa binafsi za watu na mashirika nchini.

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

July 2, 2025, 3:55 p.m.
π“π€ππ™π€ππˆπ€ 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 π–π’πˆπ’+𝟐𝟎 π‡πˆπ†π‡-𝐋𝐄𝐕𝐄𝐋 𝐄𝐕𝐄𝐍𝐓 𝐈𝐍 𝐆𝐄𝐍𝐄𝐕𝐀

π“π€ππ™π€ππˆπ€ 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 π–π’πˆπ’+𝟐𝟎 π‡πˆπ†π‡β€¦

July 7, 2025, 9:05 a.m.
DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BINAFSI KWENYE TAASISI/KAMPUNI YAKO

DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BIN…

July 9, 2025, 5:26 p.m.
NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI WA TAARIFA KWENYE …

NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI W…

July 10, 2025, 3:54 p.m.
DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI W…

July 11, 2025, 3:55 p.m.
PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFISA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NCHINI

PDPC KUANZISHA ITHIBATI KWA MAAFIS…

July 16, 2025, 3:07 p.m.
ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI YATOLEWA MAONESHO …

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

Aug. 10, 2025, 4:24 p.m.
BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

BALOZI ADADI AONGOZA KIKAO CHA BOD…

Aug. 14, 2025, 3:55 p.m.
JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA WADAU KWA KULINDA TAARIFA …

JENGA UAMINIFU WA TAASISI YAKO KWA…

Aug. 20, 2025, 8:57 p.m.
NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII …

NI KOSA KUSAMBAZA TAARIFA ZA MTU K…

Aug. 20, 2025, 8:58 p.m.
πŠπ”π€ππƒπ€π€ 𝐒𝐄𝐑𝐀 π˜π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 π“π€π€π‘πˆπ…π€ ππˆππ€π…π’πˆ πŠπ–π„ππ˜π„ π“π€π€π’πˆπ’πˆ 𝐍𝐈 …

πŠπ”π€ππƒπ€π€ 𝐒𝐄𝐑𝐀 π˜π€ π”π‹πˆππ™πˆ 𝐖𝐀 π“π€π€π‘πˆπ…π€ …

Aug. 21, 2025, 2:38 p.m.
π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆππˆ π–π€πŠπŽ ππˆπ‹π€ πŠπ”ππ€π“π€ π‘πˆπƒπ‡π€π€ …

π”π’πˆπ–π„πŠπ„ π“π€π€π‘πˆπ…π€ 𝐙𝐀 πŒπ“π” πŠπ€πŒπ€ πŒπƒπ‡π€πŒπˆβ€¦

Aug. 21, 2025, 2:46 p.m.
KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI NI LAZIMA KUPATA KIBALI …

KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA…

Aug. 22, 2025, 4:45 p.m.
KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI ZA WATU

KAMPENI ZIZINGATIE ULINZI WA FARAG…

Sept. 5, 2025, 8:53 a.m.
ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA BINAFSI UNAJENGA IMANI YA WANANCHI …

ULINZI WA FARAGHA KWENYE TAARIFA B…

Sept. 11, 2025, 11:23 a.m.
PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikiano katika Kulinda Faragha na Taarifa …

PDPC na NHIF Kuimarisha Ushirikian…

Nov. 12, 2025, 6:56 p.m.
ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA YAWAFIKIA PDPC

ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RU…

Nov. 24, 2025, 10:12 p.m.
DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGEA UWEZO KATIKA ULINZI WA TAARIFA

DPOs WAIPONGEZA PDPC KWA KUWAJENGE…

Dec. 4, 2025, 7:08 p.m.
KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE MBELWA KAIRUKI

KARIBU PDPC MHE. ANGELLAH JASMINE …

Dec. 15, 2025, 7 p.m.
KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUGENZI PDPC

KIKAO CHA SABA CHA BODI YA WAKURUG…

Dec. 19, 2025, 11:50 p.m.