PDPC WATOA ELIMU KWA UMMA MWANZA
March 21, 2025, 8:56 p.m.
Timu ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Dkt. Emmanuel Mkilia wamefika Studio za Star Tv kwa lengo la kutoa elimu kwa Umma kuhusu Dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi.
Akizungumza katika Studio hizo kupitia kipindi cha Tuongee Asubuhi Dkt. Mkilia ametoa wito kwa Taasisi zinazokusanya na kuchakata Taarifa Binafsi nchini kujisajili kwenye Mfumo wa Usajili PDPC kabla ya April 30, 2025 ili kutimiza matakwa ya Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Namba 11 ya Mwaka 2022, Sura ya 44.
Kwa Upande wake Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano - PDPC, Bw. Innocent Mungy amesema PDPC imeweka Kambi jijini Mwanza ili kuhakikisha Elimu ya Dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi inawafikia wakazi wote wa eneo hilo ikiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo aliitaka Tume kuielimisha jamii kuhusu Ulinzi wa Taarifa Binafsi

PDPC AND TIRA TO BUILD SUSTAINABLE…

IN DIGITAL ECONOMY PRIVACY SHOULD …

CONTACT US

Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Masha…

ULINZI WA TAARIFA BINAFSI UNAANZA …

JAMII YASHAURIWA KULINDA TAARIFA B…

PDPC KUSHIRIKIANA NA WADAU KUIMARI…

PDPC NA HILTON LAW GROUP WAKUTANA …

PDPC TUNAHAKIKISHA ULINZI WA FARAG…

TUZINGATIE KANUNI ZA DHANA YA ULIN…

KIKAO KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBI…

MSINGI WA UCHUMI WA KIDIJITALI UNA…

‘UNWANTED WITNESS’ WATEMBELEA PDPC

PDPC YASHIRIKI KIKAO - TATHMINI YA…

DKT. MKILIA AFUNGUA WARSHA JUKWAA …

PDPC Yatoa Mafunzo Maalumu kwa Bod…

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

PDPC YATOA ELIMU KWA UMMA MWANZA

ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NI SWALA…