PDPC YASHIRIKI KIKAO - TATHMINI MRADI WA TANZANIA KIDIJITALI
Feb. 26, 2025, 4:02 p.m.
Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) inashiriki kikao cha tathmini ya Mradi wa Tanzania ya Kidijitali, kinachofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 24 hadi 27 Februari 2025. Kutoka PDPC kikao hiki kimehudhuriwa na Mkurugenzi Mkuu wa PDPC Dkt. Emmanuel Mkilia pamoja na Mkurugenzi wa Usajili na Uzingatiaji Mhandisi Stephen Wangwe.
Mradi wa Tanzania Kidijitali unatekelezwa kwa mkopo wa masharti nafuu kutoka Benki ya Dunia na unalenga kuboresha huduma za kidijitali nchini. Maandalizi ya Awamu ya pili ya mradi huu, ambao utaendelea kuanzia mwaka 2026 hadi 2031 yameanza. PDPC itakuwa miongoni mwa taasisi zitakazonufaika kwenye awamu hii, na tunaamini kuwa utachangia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya kidijitali nchini.
Tume inaendelea kujitahidi kuhakikisha kwamba huduma zetu zinakuwa bora zaidi na zinawafaidisha wananachi. Tushirikiane katika kujenga Tanzania ya Kidijitali!

PDPC YASHIRIKI KIKAO - TATHMINI YA…

DKT. MKILIA AFUNGUA WARSHA JUKWAA …

PDPC Yatoa Mafunzo Maalumu kwa Bod…

ELIMU YA DHANA YA ULINZI WA TAARIF…

PDPC YATOA ELIMU KWA UMMA MWANZA

ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NI SWALA…

PDPC YATOA WITO WA USAJILI WA TAAS…

MISHAHARA KWA WAFANYAKAZI NCHINI K…

PDPC YATANGAZA MAFUNZO KWA MAAFISA…

SIMAMIENI MIPANGO YA KUPUNGUZA VIH…

RISK CHAMPIONS NA DPO’s SHIRIKIANE…

WARATIBU NA WASIMAMIZI WA VIHATARI…

DPIA NI LAZIMA, KABLA YA KUANZISHA…

RIDHAA INAPASWA KUTOLEWA BILA SHUR…

TANZANIA DELEGATION PARTICIPATES I…

ROPA NI MUHIMU KWA KILA DPO

𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐀𝐓𝐓𝐄𝐍𝐃𝐄𝐃 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐒𝐈𝐒+𝟐𝟎 𝐇𝐈𝐆𝐇…

DPO SIMAMIA USALAMA WA TAARIFA BIN…

NI LAZIMA KUWA NA SERA YA ULINZI W…

DPIA NI MUHIMU KUIMARISHA ULINZI W…