Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi nchini, ilianzishwa rasmi tarehe 01 Mei, 2023 kufuatia kupitishwa kwa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Na. 11, 2022. Tume ilianza utekelezaji wa majukumu yake kama matokeo ya utekelezaji wa Sheria hiyo na kuanzishwa rasmi majukumu yake.

....SOMA ZAIDI